ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, May 25, 2018

WAMILIKI WA VIWANDA VYA KUCHENJUA DHAHABU MKOANI MWANZA WAINGIWA HOFU YA KUFUNGA VIWANDA VYAO MARA BAADA YA KUINASA KAULI YA MKUU WA MKOA WA GEITA.


GSENGOtV
WAKATI Serikali ya Awamu ya tano ikikusudia kuanzisha soko la Kimataifa la madini jijini Mwanza ambapo tayari imeshatenga eneo kwaajili ya kuweka soko hilo ambalo licha ya kukuza sekta hiyo bali kudhibiti utoroshwaji wa madini nchini, upande wa pili, Mkuu wa mkoa wa Geita Robert Gabriel analalamikiwa na Umoja wa wamiliki wa viwanda vya uchenjuaji na wanunuzi wa dhahabu Mkoani Mwanza kwa kupiga marufuku wafanyabiashara wa madini kutoka mkoani kwake kusafirisha malighafi inayotumika kubebea dhahabu inayojulikana kama CARBON kwenda jijini Mwanza.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.