ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, May 24, 2018

MKONO WA MAMA JANET MAGUFULI BADO UNAHITAJIKA KITUO CHA KULEA WAZEE BUKUMBI MWANZA


GSENGOtV
Bado wazee wanaoishi katika kituo cha ustawi wa Jamii cha Bukumbi kijiji cha Kigongo kata ya Idetemya wilayani Misungwi mkoani Mwanza wanaishi kwenye mazingira magumu.

 Wakiwa ndani ya makazi yao, mnamo tarehe 7 April 2018 Katika kuadhimisha Kumbukumbu ya kifo cha Rais wa Kwanza wa Zanzibar Hayati Abeid Amani Karume, wazee hao wanatembelewa na wadau wa Asasi isiyokuwa ya kiserikali ya 'METDO Tanzania' iliyoambatana na waandishi wa habari kutoka Jembe Fm pamoja na waimbaji wa Muziki wa Injili toka mkoa wa Mwanza wenye kundi lao linalioitwa 'The Chosen Generation' ambapo wazee hao wanapaza sauti zao juu ya masaibu na changamoto wanazokumbana nazo, wakiomba salamu hizo zifike kwa First lady wa Tanzania 'Mama Janet Magufuli' pamoja na wananchi wenye mapenzi mema.
.   

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.