ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, March 22, 2018

TAASISI YA KIMATAIFA YAPAZA SAUTI ELIMU KWA WATU WENYE ULEMAVU NCHINI


​NA ZEPHANIA WA GSENGO TV 
SERIKALI imeshauriwa kuondoa vikwazo vya kielimu, kwa watu wenye ulemavu nchini, ili kusaidia jamii hiyo kufikia malengo yao ya kiuchumi.

Kauli hiyo imetolewa na mkurugenzi wa Taasisi ya Kimataifa, ya Josephat Tornner Foundation (JTF), katika SIKU YA KUPAZA SAUTI kuwalinda watoto wenye ulemavu duniani, iliyofanyika wilayani Busega, mkoa wa Simiyu.
Maadhimisho hayo yaliyotanguliwa na maandamano ya wanafunzi, kisha baada ya kutimu saa 5:00 asubihi, Kengele ya kupaza sauti kuungana na mataifa zaidi ya 40, ikapigwa.

Mkuu wa wilaya ya Busega, mkoa wa Simiyu, Tano Mwera naye akatoa maagizo ya Serikali.

Kwa upande wake, Baba mzazi wa mtoto Sundi Masalu, Masalu Boniphace, ambaye tangu mwanaye azaliwe miaka tisa iliyopita hajawahi kupelekwa shuleni.
.
MAADHIMISHO YA KUPAZA SAUTI KUMLINDA MTOTO MWENYE ULEMAVU, HUFANYIKA MACHI 21 KILA MWAKA DUNIANI KOTE, AMBAPO WILAYA YA BUSEGA IMETAJWA KUWA NA WANAFUNZI 223 WENYE ULEMAVU WA AINA MBALIMBALI.














Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.