ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, February 15, 2018

METDO TANZANIA IMEENDELEA NA ZIARA YAKE KUTOA ELIMU YA MAZINGIRA NA USALAMA MAHALA PA KAZI KWA WACHIMBAJI WADOGO.



Asasi ya Mining and Environmental Transformation for Development Organization ( METDO Tanzania) imendelea na Ziara  yake kutoa Elimu ya Mazingira na Usalama mahala pa Kazi kwa Wachimbaji wadogo.

Lengo ni kuhakikisha wanafanya uzalishaji wakiwa salama na Mazingira  salama.

Serikali imekuwa ikipoteza kodi nyingi kwa wachimbaji wadogo hii ilitokana na kutoweka taratibu katika Halmashauri  zote Nchini. 

Tunaomba TRA , MADINI ,Wakusanyaji ushuru  wa Halmashauri na Wahusika wa Mazingira. 
Ili  mrabaha 6%* , Kodi TRA 5% na *Pato la Halmashauri *0.3%  kodi zote zikusanywe kwa Wachimbaji kwa wakati mmoja

 # Tuyatunze* Mazingira yatutunze,Tutumie Rasilimali zetu kwa ajili ya kuinua Uchumi wa Watanzania na kuijenga Tanzania

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.