ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, August 25, 2016

RATIBA KWA MAKUNDI UEFA CHAMPIONS LEAGUE HII HAPA.

Ratiba kamaili ya hatua ya makundi ya Uefa champions League imetoka. Timu za Uingereza zinaonekana kuwa na ahueni kwenye hatua hii kutokana na kutokuwa kwenye makundi ya vifo huku Leicester wakiwa kwenye kundi ambalo unaweza kuliita nyanya zaidi.
Kwa ratiba hii unatakiwa kuwa na matarajio ya kushuhudia moja ya hatua 16 bora nzuri na yenye ushindani zaidi kwa uwezekano wa vilabu vikubwa kubaki kwenye hatua ya makundi ni mdogo sana.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.