ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, May 9, 2015

JINSI YA KUZUIA NA KULINDA TAARIFA ZAKO MTANDAONI SEHEMU YA II

Simu
Ili kulinda simu unazopiga na unazopokea, tumia application ya RedPhone.
https://lh5.ggpht.com/O2MTDEI9aoPNYBBc3Dd1uBTX6oaragGjz_4DeOB05In02eAMlAY0XUNlQO_OgnmeDvTU=w300
RedPhone imetengenezwa na kampuni ya Open Whisper System – kampuni ile ile iliyotegeneneza TextSecure. Faida zake ni kama za TextSecure:-
·         Ina encrypt mawasiliano yako wakati unaongea hivyo hauna anayeweza kusikiliza maongezi yako hapo katikati.
 Kwa watumiaji wa iPhone, Open Whisper System wametoa app inayoitwa Signal ambayo inaunganisha encyrption ya meseji na simu kwenye app moja. App hii inaweza kufanya kazi na TextSecure na RedPhone kwa Android unapotuma meseji au kupiga simu kutoka kwenye app moja kwenda nyingine.

Mtandao

image
Kujilinda kwenye mtandao kunahitaji umakini zaidi. Download Tor Browser kisha uendelee kufungua websites kama kawaida.

Inavyofanya Kazi
Unapotumia Tor, mawasiliano yako yanapitishwa kupitia mtandao wa Tor. baada ya hapo, mtanda wa Tor unapitisha mawasaliano yako kwenye vituo mbalimbali kutoka miji mbalimbali duniani kabla haijafika kwenye sehemu unayotaa kwenda (usijali, hii yote hufanyika chini ya sekunde moja) Hii inafanya hata ISP wako (Internet Service Provider) hawezi kujua unachokifanya.. Inazua hata websites zenyewe zisijue ulipo.

___________________MWISHO_________________________________
·         Kwa masomo na msaada wa maswala ya IT wasiliana nasi kwa anuani hizo chini.
______________________________________________________________________________
Support Team | RIGHT CLICK SOLUTIONS TANZANIA
P.O.Box 11503, Mwanza,Tanzania | Mob: +255 757 423421
Vijana Centre Building, Ground Floor | Room No.2 | Plot No. 11
Mlango mmoja street | Adjacent AAR Healthcare Hospital

for more options”

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.